Home » » Picha Za Jamii Ya Wahadzabe

Picha Za Jamii Ya Wahadzabe


Bw.
Abel Matayo, mkazi wa kitongoji Kipamba, kata Mwangeza, Iramba, wa
jamii ya Kihadzabe akiaga familia tayari kwa safari kuwinda
 Mmoja wa Wahadzabe, Abel Matayo akivuta sigara nyumbani kwake Kipamba, kata Mwangeza kabla ya kuelekea kuwinda porini.
Mhadzabe
akivuta kasi kusaka wanyama pori, lakini wanalalamika pori lao
kuvamiwa na jamii ya wafugaji, hasa Wasukuma na Wadaatoga, kiasi cha
kuharibu mazingira yao kwa kufyeka misitu ovyo kusaka mashamba na eneo
la malisho.

Na Elisante John Wa Mjengwa Blog

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa