Home » » MO AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM SINGIDA‏

MO AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM SINGIDA‏

IMG_0216
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).
IMG_0223
Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.
IMG_0167
Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji akimnadi mgombe wa nafasi ya m/kiti wa mtaaa Kibaoni Timotheo Ruben John kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.
IMG_0172
Mbunge wa jimbo la Singda mjini mhe. Mohammed Dewji akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya soko la zamani la kitongoji mjini hapa.
IMG_0202
Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akitoa nasaha zake kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM zilizofanyika Kibaoni mjini hapa.
IMG_0186
Mgombea wa nafasi ya uwenyekiti wa mtaa wa Kibaoni Timotheo Ruben John akiomba kura kwa ajili ya nafasi hiyo, Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini Hassan Mazala akifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM zilizofanyika jana.
IMG_0182
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliohudhuria uzinduzi huo wakimsikiliza Mbunge wao.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa