Kamanda
wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akitoa taarifa
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kijana mmoja mkazi wa
Kibaoini Singida mjini, kulawitiwa na rafiki yake baada ya kulewa pombe
ya viroba aina ya jogoo.(Picha na Nathaniel Limu).
‘Ulevi
noma’ hiyo imedhihirika baada vijana wawili wa kiume marafiki kunywa
pombe nyingi na kuepelekea mmoja amwingilie kimwili kinyume na maumbile
rafiki yake kipenzi.
Inadaiwa
Athumani Juma mkazi wa Kibaoni alimwingilia kimwili kinyume na maumbile
rafiki yake wa kiume mwenye umri wa miaka 26 (jina tunalo).
Kamanda
...