Kijana wa kiume mkoani Singida aingiliwa kinyume na maumbile baada ya kulewa pombe na kupoteza fahamu.

  Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya kijana mmoja mkazi wa Kibaoini Singida mjini, kulawitiwa na rafiki yake baada ya kulewa pombe ya viroba aina ya jogoo.(Picha na Nathaniel Limu). ‘Ulevi noma’ hiyo imedhihirika baada vijana wawili wa kiume marafiki kunywa pombe nyingi na kuepelekea mmoja amwingilie kimwili kinyume na maumbile rafiki yake kipenzi. Inadaiwa Athumani Juma mkazi wa Kibaoni alimwingilia kimwili kinyume na maumbile rafiki yake wa kiume mwenye umri wa miaka 26 (jina tunalo). Kamanda ...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa