"Screen shot" ikionyesha moja ya habari zilizorushwa kwenye moja ya blog uchwara kuhusiana na taarifa za uzushi wa kifo cha mchungaji Gwajima.
…Ni zile zinazoandika habari za uongo, matusi
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ambayo Tanzania tunapitia kwa sasa ni pamoja na teknolojia mbalimbali ikiwemo mawasiliano ya simu, intaneti vyombo vya habari na mengine mengi, Lakini mawasiliano hayo kwa sasa ikiwemo Intaneti wapo wanayoyatumia vibaya.
Kupitia BLOG, mtandao ambao mtu anaweza kutengeneza chombo chake cha kutolea taarifa ama kufanyaia jambo lolote lile liwafikie wengi kwa mema, lakini kwa sasa hilo halipo kwani licha...
DOLA ZA MAREKANI MILIONI 132 KUTUMIKA MRADI MKUBWA WA UMEME WA UPEPO WA MEGAWATI 50 SINGIDA. KUTOA AJIRA 2,200
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa akitoa maagizo kwa Wakandarasi, Wataalamu kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco), Wizara ya Nishati na Madini na viongozi mbalimbali kwenye majumuisho ya ziara ya kamati hiyo, baada ya kufanya ukaguzi wa miradi ya umeme mkoani Singida pamoja na kuzungumza na wananchi.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa (katikati) akisisitiza jambo katika eneo la mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya upepo lililopo Kisesile...
TONE NA KILIMO: UFAHAMU UYOGA WA ASILI KUTOKA TANZANIA NA FAIDA ZAKE.

Uyoga ni zao la viumbe hai viitwavyo kuvu (fungi).
Tanzania inao utajiri mkubwa wa uyoga wa asili. Uyoga wetu wa asili hupatikana
wakati wa msimu wa mvua tu. Hili ni tatizo kubwa kwa vile wananchi walio wengi
hupenda kula uyoga wakati wote.
Kwa sababu ya upatikanaji wa uyoga kwa msimu, na kwa vile aina nyingine za
uyoga wa kienyeji zina sumu, tumefanya jitihada za kuanzisha kilimo cha uyoga
ili kukidhi mahitaji ya wananchi kwa mwaka mzima. Pamoja na kutoa lishe bora
kwa watu, uyoga pia unaweza kuzalishwa kama zao la biashara.
UMUHIMU WA ZAO LA UYOGA.
Uyoga kama chakula una viinilishe vingi vilivyo muhimu kwa afya ya binadamu.
Uyoga...