RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MKEWE MAMA JANETH WASHIRIKI IBADA YA KRISMASI KATIKA KANISA KATOLIKI (KANISA KUU LA MOYO MTAKATIFU WA YESU) MKOANI SINGIDA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli wakiwa katika Misa ya Krismasi katika Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida. Hapa wakiwa katika sala. Rais Magufuli na mkewe wakisilkiliza neno Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwasalimia waumini wa Kanisa Kuu la Moyo Mtakatifu wa Yesu mkoani Singida mara baada ya kushiriki Misa ya Krismasi katika kanisa hilo mkoani Singida Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli...

RC NCHIMBI ALIPONGEZA SHIRIKA LA NYUMBA; AZUNGUMZA NA WATUMISHI MANYONI NA KUWAKUMBUSHA MAADILI YA UTUMISHI WA UMMA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Mkuu  wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amelishukuru Shirika la Nyumba  Taifa (NHC) kwa msaada wa mifuko ya saruji 10, kofia za bati 20, mabati 90 ya geji 28 vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 2.6 milioni ukiwa ni msaada kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa bweni la sekondari Mwanzi iliyoko Wilayani Manyoni Mkoani Singida. Dkt. Nchimbi ametoa shukrani hizo juzi wakati akipokea masaada huo kutoka kwa Meneja wa NHC Mkoa wa Singida Ladislaus Bamanyisa na kutoa...

WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA KIKUBWA CHA KUZALISHA MAFUTA YA ALIZETI MKOANI SINGIDA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  Mkurugenzi Mtendaji (Group Excutive Director) kampuni ya Mount Meru Millers, Atul Mittal (kushoto) akimwonyesha Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mashudu ya alizeti yanayonunuliwa na kampuni ya Mount Meru tawi la Singida na kusangwa upya na kutoa mafuta ya kutosha....

RC MTIGUMWE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA SINGIDA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhandisi Mathew John Mtigumwe akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida SSP Peter Charles Kakamba, baada ya mwili kuagwa Mhandisi Mtigumwe amewaongoza msafara wa waombolezaji kuelekea Mkoani Katavi, kijiji cha Kawajese kwa ajili ya mazishi. Kamanda Kakamba amefariki usiku wa kuamkia jana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakati akipatiwa matibabu.(Picha na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida) Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa