Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt.  Parseko Vicent Kone (mwenye suti nyeusi) akisalimiana na baadhi ya   viongozi wa jeshi polisi mkoa wa Singida muda mfupi kabla ya kuzindua  mradi wa pikipiki kwa ajili ya wakaguzi wa tarafa mkoani Singida.
 Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt.  Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa mradi wa  pikipki kwa ajili ya ukaguzi wa makosa ya uhalifu katika tarafa za mkoa  wa Singida. Kushoto ni Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida Linus  Sinzumwa na kushoto ni mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida,Mgana Msindai.
 Baadhi ya askari wa jeshi la  polisi mkoa wa Singida wakishuhudia uzinduzi wa mradi wa pikipiki kwa  ajili ya ukaguzi wa makosa ya uhalifu katika tarafa za mkoa wa Singida.
 Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt.  Parseko Vicent Kone akijaribu kuendesha pikipiki za mradi wa ukaguzi wa  makosa ya uhalifu katika tarafa za mkoa wa Singida. Kulia ni Mwenyekiti  wa CCM mkoa wa Singid Mgana Msindai akishuhudia tukio hilo.
Baadhi ya pikipiki 22 za mradi  wa ukaguzi wa makosa ya uhalifu katika tarafa za mkoa wa Singida.  Pikipiki hizo zimetolewa rasmi kwa ajili ya kukabidhiwa maafisa polisi  wa tarafa za mkoa wa Singida.





0 comments:
Post a Comment