Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Meneja wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoa wa Ruvuma Bw. Felix Wisso.
Na Zawadi Msalla- WHUSM Ruvuma
Shirika la Taifa la Hifadhi ya
Jamii( NSSF) Mkoa wa Ruvuma limeshauriwa kuinua maisha ya wasanii kwa
kuwaunganisha na mfuko huo ili kuhakikisha maisha ya wasanii
yanaboreshwa.
Akizungumza katika kikao kati ya
wadau wa sekta za Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Wizara, Katibu
Mkuu wa Wizara Wizara hiyo Prof Elisante Ole Gabriel amesema kuwa
mfuko huo uangalie...
WAZIRI NCHEMBA AAGIZA MAOFISA USHIRIKI SINGIDA KUCHUKULIWA HATUA
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
mbunge wa Singida Kaskazin Bw Lazaro Nyalandu (kulia) akimpokea waziri wa Kilimo ,Mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba alipofanya ziara ya kikazi wilaya ya Manyoni jana
Waziri Nchemba akisalimiana na mbunge Nyalandu (kulia)
Waziri wa kilimo ,mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba akiwa ameongozana na viongozi mbali mbali kuingia ukumbi wa mkutano kati yake na wakulima wa Tumbaku Manyoni
Mbunge Lazaro Nyalandu kulia akiwa na waziri wa Kilimo ,mifugo na...