NSSF yashauriwa kusaidia wasanii.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.    Meneja  wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoa wa Ruvuma Bw. Felix Wisso. Na Zawadi Msalla- WHUSM Ruvuma Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii( NSSF) Mkoa wa Ruvuma  limeshauriwa kuinua maisha ya wasanii kwa kuwaunganisha na mfuko huo ili kuhakikisha maisha ya wasanii yanaboreshwa. Akizungumza katika kikao kati ya wadau wa sekta za Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo na Wizara, Katibu Mkuu wa Wizara Wizara hiyo Prof  Elisante Ole Gabriel  amesema kuwa mfuko huo uangalie...

WAZIRI NCHEMBA AAGIZA MAOFISA USHIRIKI SINGIDA KUCHUKULIWA HATUA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.  mbunge  wa Singida Kaskazin Bw Lazaro Nyalandu (kulia) akimpokea  waziri wa Kilimo ,Mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba alipofanya ziara ya  kikazi wilaya ya Manyoni jana Waziri Nchemba  akisalimiana na mbunge Nyalandu (kulia) Waziri  wa  kilimo ,mifugo na uvuvi Bw Mwigulu Nchemba  akiwa ameongozana na viongozi mbali mbali  kuingia  ukumbi wa mkutano kati yake na wakulima wa Tumbaku Manyoni Mbunge Lazaro  Nyalandu kulia akiwa na waziri wa Kilimo ,mifugo na...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa