Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 
 
Chagua Amani Rai Jimbo la Singida Mjini.
 
Mwigulu Nchemba akiondoka Viwanja vya Shelui mara baada ya Mkutano wa Kampeni Kumalizika.
Mwigulu Nchemba akisalimiana na
 Wananchi wake Kata ya Shelui wakati wa Mkutano wa Kampeni ya kura ya 
Maoni za UBunge kuwania kuteuliwa kupeperusha Bendera ya CCM Wilaya ya 
Iramba
Mwigulu
 Nchemba akilakiwa na Wananchi wake kijiji cha Tulya wilayani Iramba 
wakati wa kampeni za Kura ya Maoni ya kuwania Ubunge ndani ya CCM.
MWigulu
 NChemba akiwa na Wagombea wenzake kabla hawajajitoa kwenye mbio hizo za
 kura ya Maoni ya kuwania Ubunge Jimbo la Iramba kwa tiketi ya 
CCM,Wagombea kuanzia kushoto ni Juma Kilimba,Davd Jairo Kitundu,Amon 
Gunda na Mwigulu Nchemba.
Mwigulu
 Nchemba akizungumza na wananchi wa kata ya Mbelekesye kuhusu mambo 
mbalimbali ya Maendeleo aliyowafanyia ikiwamo kuwasha Umme Zaidi ya 
vijiji 48 ndani ya miaka 5,Ujenzi wa maabara na zahanati kwa kila kata 
,Ujenzi wa barabara za kuunganisha kila kijiji,Uchimbaji wa visima kwa 
Zaidi ya Vijiji 50 n.k.Hivyo anaomba ridhaa ya kuendelea kuwatumikia 
wananchi kwa miaka 5 ijayo.
Vijana
 wakimshangilia Mbunge wao kwa kazi alizofanya hivyo kumuunga mkono 
kwenye kura za maoni iliaweze kuteuliwa tena kuwawakilisha Bungeni kwa 
miaka 5 ijayo.
Wananchi
 wakiwa wamemshikilia Mbunge wao Mh.MWigulu Nchemba iliasalimiane nao 
wakati wakura za Maoni.Mwigulu amekuwa akishangiliwa sana na Wananchi wa
 Iramba na wengi wanaonekana kumuunga mkono kutokana na alivyoweza 
kuibadilisha Taswira ya Jimbo la Iramba kimaendeleo na katika Sura ya 
Nchi.