FOMU
Mgombea Ubunge Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu akichukua fomu ya kugombea Ubunge katika jimbo hilo kupitia Chama cha Mapinduzi CCM kwa  MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA SINGIDA KASKAZINI, Mkurugenzi Mtendaji HAJJAT MWASUMILWE.
hotubA
Nyalandu akihutubia wananchi Kinyagigi.
kinyagigi
Lazaro Nyalandu akiwa Kinyagigi.
MAPOKEZI
Wananchi wa kijiji cha Kinyagigi wakimpokea Nyalandu.