Mkuu
 wa Kitengo cha Biashara Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa – NIDA Ndugu 
Thomas William pamoja na Ndugu Innecent Baraza Meneja Usimamizi wa 
Majengo (Kushoto) wakifuatilia kwa karibu Uingizwaji wa taarifa za 
waombaji wa Vitambulisho vya Taifa wakati wa Zoezi la Usajili na 
Utambuzi linaloendelea Mkoa wa Singida. 
Wanachi
 katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida, wakifanyiwa usajili wa 
Maombi ya Vitambulisho vya Taifa katika zoezi la Usajili wa Mkupuo (Mass
 Registration) linaloendela hivi sasa Mkoani humo.
Baadhi
 ya Wananchi katika kata ya Kindai Halmashauri ya Manispaa Singida 
wakiwa kwenye foleni kuelekea kwenye chumba cha uchukuaji alama za 
kibaiolojia, picha na saini ya kielektroniki. 
Mkuu
 wa Kitengo cha Biashara Mamlaka ya Vitambulisho Ndugu Thomas William 
akisimamia zoezi la ugawaji wa fomu za Usajili wa Vitambulisho vya 
Taifa.




0 comments:
Post a Comment