Home » » ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI SINGIDA.

ZIARA YA VIONGOZI WA CHADEMA MKOANI SINGIDA.


Afisa wa sera na utafiti CHADEMA Makao makuu,Waitara Mwita Mwikwabe,akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Mh. John Mnyika (katikati) na baadhi ya Viongozi wa CHADEMA.
Mshauri wa CHADEMA na mhadhiri wa chuo kikuu cha Dar-es-salaam Dk.Kitila Mkumbo akisalimia wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Mbunge wa jimbo la Ubungo jijini Dar-es-salaam John Mnyika akihutubia wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi.
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ndago jimbo la Iramba Magharibi,wakiitikia salamu ya CHADEMA ya ‘nguvu ya umma’.
Baadhi ya askari wa FFU walioitwa kutuliza vurugu kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa katika kijiji cha Ndago kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA kuzungumza nao.
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Ndago waliohudhuria mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA kuzungumza nao.
(Picha zote na Nathaniel Limu).
Kwa Hisani ya Mo Blog

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa