Home » » MAHAKAMA ya Rufaa yamrejeshea ubunge wa Igunga-CCM Dr. Dalali Peter Kafumu asubuhi ya leo.

MAHAKAMA ya Rufaa yamrejeshea ubunge wa Igunga-CCM Dr. Dalali Peter Kafumu asubuhi ya leo.



 Mbunge wa jimbo la Igunga-Tabora-CCM ndugu Dalaly Peter KAFUMU
 -
Aliyekuwa mbunge wa jimbo la Igunga-Tabora ndugu Dalaly Peter KAFUMU amerudishiwa ubunge wake na mahakama leo hii asubuhi baada ya aliyekuwa mgombea kupitia CHADEMA ndugu Kashinde kushindwa kuwakilisha risiti ya hati ya kiwanja wakati wa kesi ya msingi ya kwanza,Hivyo CHADEMA wamepoteza huko Igunga.FUATILIA
 

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa