Home » » Baraza Kuu NHC Lafanyika Singida

Baraza Kuu NHC Lafanyika Singida

Meneja wa NHC Tawi la Mkoa Singida, Mariam Kambi, pamoja na wajumbe wengine wakiwa wamesimama tayari kumpokea mgeni rasmi
Wafanyakazi wa NHC Mkoa Singida wakiimba wimbo maalumu wa shirikaa hilo, kabla ya kufunguliwa kwa mkutano huo, leo mjini Singida
Sehemu ya wajumbe wa mkutano wa Taifa wa baraza kuu la wafanyakazi wa NHC, wa siku mbili leo na kesho unaofanyika mjini Singida
Naibu katibu mkuu wizara ya ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi,Maria Bilia akifungua mkutano wa siku mbili wa baraza kuu
 Mkurugenzi mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu akimkaribisha mgeni rasmi Naibu katibu mkuu, wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi
Singida
Mei 12, 2012.
MKUTANO wa baraza la kuu la wafanyakazi wa shirika la nyumba nchini umefuguliwa leo mjini Singida na NAIBU katibu mkuu wizara ya ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi nchini, Bi. Maria Bilia, katika ukumbi wa Lake Hill Singida Motel.
Baraza kuu la NHC litafanyika kwa siku mbili, leo na kesho jumapili mkuu wa mkoa Singida Dk. Parseko Kone anatarajia kufunga.
Na Elisante John

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa