Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikaribishwa na
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi alipowasili
Mkoani Singida eneo la Itigi ili kufungua Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya
yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa na Serikali kwa asilimia mia moja. Mheshimiwa Rais alikuwa akitokea kwenye ziara ya siku tatu Mkoni Tabora kupitia Singida akiwa njiani kuelekea  Dodoma  Julai 25,2017.
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli (wa pili 
kushoto) na viongozi wengine wa mkoa wa Singida wakiondoa kitambaa 
kuashiria kufunguliwa rasmi kwa  barabara ya Itigi -Manyoni
-Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja.
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na Viongozi wengine
wa Mkoa wa Singida na Tabora Wakikata Utepe kama ishara ya kufunguliwa Rasmi
kwa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya
yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja.
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kulia akiteta jambo
na Mwakilishi wa Kampuni ya PowerChina International Group Limited nchini Bw.
Wang Chao wakati wa Ufunguzi wa  Barabara
ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za
Serikali kwa  asilimia mia
moja.
  Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli 
akiwashukuru na kuwasalimia kwa kupunga mikono kwa wananchi wa Itigi na 
Manyoni walioshiriki na Kushuhudia Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja.
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga wananchi wa Itigi na Manyoni walioshuhudia Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi
-Manyoni -Chaya 
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi
Kijiji Cha Tula Uyui Mkoani Tabora waliojitokeza Barabarani Kumsalimia akiwa
njiani kuelekea Mkoani Dodoma akitokea kwenye ziara ya siku tatu Mkoni Tabora
Julai 25,2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo
akiwa njiani katika moja ya mikutano ya barabarani kwa  waliojitokeza 
Kumsalimia akiwa njiani kuelekea Mkoani Dodoma akitokea kwenye ziara ya
siku tatu Mkoni Tabora Julai 25,2017.
 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi
wa Itigi na Manyoni wakati wa Ufunguzi wa 
Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu wa kilometa 89.5
iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa 
asilimia mia moja.
Wananchi
wa Itigi na Manyoni wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiwatubia kwenye Ufunguzi wa  Barabara ya Itigi -Manyoni -Chaya yenye urefu
wa kilometa 89.5 iliyojengwa kwa fedha za Serikali kwa  asilimia mia moja. 
Picha zote na IKULU
 Rais
 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
 mkono wakazi wa Itigi mara baada ya kuzungumza nao na kuzindua barabara
 Manyoni-Itigi-Chaya, ambapo pamoja na mambo mengine ameagiza ujenzi wa 
barabara ya Chaya-Nyaua yenye kilomita 85 na ujenzi uanze ndani ya siku 
45 ili barabara hiyo ikamilike kwa kiwango cha lami.
0 comments:
Post a Comment