Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Kaimu Meneja wa Hifadhi ya Pori la Akiba la Rungwa, Batholomeo 
Mganga, alisema hayo wakati wa kumkabidhi baiskeli ya miguu mitatu 
mlemavu, Yohana Pangarasi, mwanakijiji wa Imalampaka, Manyoni.
Mganga alisema katika kipindi hicho tembo 168 wenye uzito wa kilo 166 waliuawa na majangili hao kinyume cha sheria.
Hata hivyo Kaimu Meneja wa KDU alisema mwaka 2009 licha ya kukamatwa 
kwa majangili 116, tembo 16 waliuawa wakati mwaka 2010 majangili 172 
walikamatwa wakiwa na meno ya tembo manne yaliyokuwa na uzito wa kilo 
23.5
Chanzo;Tanzania Daima 
0 comments:
Post a Comment