Home » » Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro

Wasichana 35 wafukuzwa shule kwa mimba, utoro

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
BODI ya Shule ya Sekondari Munkinya, Kata ya Dung’unyi wilayani Ikungi, Singida imewafukuza shule wanafunzi 35 kwa sababu za utoro, mimba na ukosefu wa nidhamu.
Mkuu wa Shule hiyo, Joseph Kilinga, alisema wanafunzi hao walifukuzwa kati ya mwaka 2010 hadi mwaka huu.
Alifafanua kwamba katika kipindi hicho jumla ya wanafunzi 21 walifukuzwa shule kwa utoro, wakati utovu wa nidhamu uliwafukuzisha wanafunzi wanne na wengine watatu walifukuzwa kwa mimba.
 Chanzo;Tanzania Daima

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa