Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
JESHI
 la Polisi limemkamata mtu mmoja  mkazi wa Mwamagembe, Itigi wilayani 
Manyoni, Singida, George James (30)  na vipande 21 vya meno  ya tembo 
akiwa njiani kuvisafirisha.
Kamanda wa Polisi mkoani humo (SACP) Geofrey Kamwela, alisema jeshi 
hilo lilifanikiwa kumkamata kijana huyo baada ya kuweka mtego wakati 
wakiwa ndani ya gari.
Alilitaja gari hilo kuwa ni Toyota Hiace lenye namba za usajili T 797
 CQL wakati akiwa katika harakati za kusafirisha meno hayo  kwenda Itigi
 mjini.
Chanzo;Tanzania Daima 
0 comments:
Post a Comment