Home » » NAPE AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFANI SINGIDA

NAPE AKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA RUFANI SINGIDA


Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Nape Nnauye akizungumza na
viongozi wa CCM mkoa wa Singida baada ya kuwasili kwa ziara ya kikazi ya
siku moja leo Juni Mosi, 2012.

Katibu tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (wapili kulia) akionyesha
ramani ya jengo la utawala la hospitali ya rufani ya Singida ambayo
ujenzi unaendelea. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida, Jerome Alute

Nape akikagua ndani ya majengo ya hospitani ya rufani Singida

Ofisa Tawala wa mkoa wa Singida, Liana Hassan (kushoto) akimpa maelezo
Nape kuhusu ujenzi wa hospitali hiyo ulipofika. Kulia ni Alute
Nape na ujumbe wake wakikagua jengo la Wazazi la hospitali ya Rufani Singida

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa