Katibu
 tawala mkoa wa Singida, Hassan Liana, akizungumza kwenye hafla ya 
kukabidhi vifaa kwa mafundi wadogo wa useremala,ushonaji wa nguo,uhunzi 
na ujenzi.Vifaa hivyo vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 20 
milioni,vimetolewa na shirika la Tools for self reliance la nchini Wales
 Uingereza na zimepitia SIDO mkoa wa Singida.
Katibu
 tawala mkoa wa Singida, Hassan Liana (wa pili kulia) akikabidhi 
cherehani kwa mmoja wa kiongozi wa vikundi 17 vilivyonufaika na msaada 
wa vifaa vya ufundi vilivyotolewa na shirika la Tools for self reliance 
la nchini Wales Uingereza.Wa kwanza kulia ni meneja wa SIDO mkoa wa 
Singida, Shoma Kibende.
Katibu
 tawala mkoa wa Singida, Hassan Liana, akiwa kwenye picha ya pamoja na 
viongozi wa vikundi 17 vya mafundi wa fani mbalimbali muda mfupi baada 
ya kuwakabidhi vifaa vya ufundi vilivyotolewa na shirika la Tools for 
self reliance la nchini Wales Uingereza.Wa kwanza kushoto ni mejena wa 
SIDO mkoa wa Singida.Shoma Kibende.(Picha na Nathaniel Limu).
0 comments:
Post a Comment