Home » » Katibu Mkuu wa Chadema,Dk. Willibrod Slaa Aung'uruma igunga

Katibu Mkuu wa Chadema,Dk. Willibrod Slaa Aung'uruma igunga



 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod
Slaa akiwahutubia wananchi wa mji wa Igunga na vitongoji vyake, katika
mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi kwa ushiriki wao katika
kufanikisha kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, uliofanyika kwenye Uwanja wa
Kumbukumbu ya Sokoine mjini Igunga.
 Aliyekuwa mgombea wa jimbo la Igunga
katika uchaguzi mdogo mwaka jana, kupitia Chadema, mwalimu Joseph
Kashindye na aliyekuwa meneja wa kampeni,  Slyvester Kasulumbai,
wakiwasili kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine mjini  Igunga, ambako
kulifanyika mkutano wa hadhara.Picha zote na Joseph Senga)


0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa