Home » » Picha Mbalimbali Za Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa Kwenye Mkutano wa Kuwashukuru Wananchi wa Jimbo la igunga

Picha Mbalimbali Za Katibu Mkuu wa Chadema Dk Wilbrod Slaa Kwenye Mkutano wa Kuwashukuru Wananchi wa Jimbo la igunga

  Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod
Slaa, akisalimiana na aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Igunga katika
uchaguzi mdogo mwaka jana, kupitia Chadema, Mwalimu Joseph Kashindye,
walipokutana katika mkutano wa kuwashukuru wananchi wa jimbo hilo kwa
ushiriki wao katika kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, ambayo Chadema
kiliibuka mshindi, uliofanytika kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Igunga
 Katibu
Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa
akikumbatinana na Mbunge wa Maswa Mashariki, Slyvester Kasulumbai,
walipokutana katika mkutano wa hadhara wa kuwashukuru wananchi wa jimbo
la Igunga kwa ushiriki wao katika kesi ya uchaguzi wa jimbo hilo, kwenye
Uwanja wa Sokoine mjini Igunga juzi.
Kutokana
na kilichoelezwa kuwekwa kwa lami chini yakiwango katika mlima Sekenke
mkoani Singida, imeharibika vibaya kama inavyoonyesha pichani magari
yakipita kwa shida baada ya lami hiyo kubomoka kwa kipindi kifupi tangu
iwekwe, kama ilivyokutwa jana.Picha na Joseph Senga

0 comments:

Post a Comment

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2011. Singida Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogz za Mikoa